Jamii ya wanafunzi yakutoka Kenya chuo cha Makerere Imeimarisha Kampeni ya kutafuta atakaye kuwa Raisi wa chama kijulikanalo kama Makerere University Kenya Students Association(MUKESA) kwa kimombo, uchanguzi unatarajiwa kuwa katikati mwa mwezi huu.
Jumamosi iliyopita, jumla ya wanafunzi mia nne walijitokeza ili kuchagua tume ya uchanguzi itakayo simamia uchaguzi huo.Fredrick Obondo aliibuka mshindi kwa kuzoa kura mia moja na ishirini,akifuatwa kwa karibu na Fredrick Orere na kura 118,jotham Gaitho akapata kura arobainne na nane.
Kufikia sasa wagombea uchanguzi wanne wamejitokeza. Birghen Kiplimo Eliud,Nganga ,Shukri,Joel.
Wengi wamewaraumu wagombea uchanguzi kwa kufanya kampeni wakijivizia kabila zao.
Tuesday, April 1, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment